DISQUS SHORTNAME

SHILOLE AWAFUNGUKIA WALEWANAOKOSOA UHUSIANO WAKENA MPENZI WAKE NUHUMZUWANDA

STAA wa muziki wa mduara Zuwena Mohamed’ Shilole’ amewafungukia wale watu  wanaokosoa uhusiano wake na mpenzi wake  wa sasa Nuhu Mzuwanda...


STAA wa muziki wa mduara Zuwena Mohamed’ Shilole’ amewafungukia wale watu  wanaokosoa uhusiano wake na mpenzi wake  wa sasa Nuhu Mzuwanda wakisema kuwa msanii huyo anamfanya mpenzi wake Marioo. Aidha Shilole amekana na kusikitishwa na  habari hizo za kumfanya Nuhu Mzuwanda kama marioo na hamtegemei yeye kwa kila kitu na kwamba uhusiano kwa sasa una muda wa miezi sita .

Related

BONGO MOVIE 7094810606169384815

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item