DISQUS SHORTNAME

AUDIO: MENEJA WA MSANIISHAA ,MKUBWA FELA AFUNGUKA SABABU YA MSANII HUYOKUTO PAFOMU KWENYE TUZO ZA KILI

Usiku wa utoaji wa tuzo za Kili Music Awards Jumamosi iliyopita katika ukumbi wa Mlimani City, Dar msanii Sara Kaisi ‘ shaa’ alitakiwa ku...


Usiku wa utoaji wa tuzo za Kili Music Awards Jumamosi iliyopita katika ukumbi wa Mlimani City, Dar msanii Sara Kaisi ‘ shaa’ alitakiwa kupafomu, lakini mpaka muda unafika msanii huyo alikuwa hajatokea pande  hizo ingawa madansa wake walikuwepo ukumbini hapo kwa ajili ya kupafomu. Clouds fm imepiga stori na meneja wa Shaa , Mkubwa Fela amefunguka ni kitu gani kilimtokea msanii huyo.

Related

BONGO FLAVA 4075873427744333310

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item