DISQUS SHORTNAME

LULU AKACHA MSIBA WAKUAMBIANA , AJITETEA

STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘ Lulu’ amedaiwa kuukacha msiba wa aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambi...


STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth
Michael ‘ Lulu’ amedaiwa kuukacha msiba wa
aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam
Philip Kuambiana na kujitetea kuwa alibanwa
na majukumu .

Alipobanwa na mwanahabari wetu kuhusu
kutohudhuria msiba huo uliodumu kwa
takriban siku nne, Lulu alijitetea kuwa
alikuwa Mwanza kikazi .
Elizabeth Michael ‘Lulu ’ .
“Nimebanwa na kazi , nipo Mwanza na
kampuni yetu tunayofanya nayo kazi imetoa
nafasi moja tu kurudi Dar kwenye msiba,
nimeshindwa , ” alisema Lulu.
Mastaa wengi walijitokeza kwenye msiba huo
akiwemo Jacob Steven ‘ JB ’ ambaye alikuwa
nchini Uturuki kikazi lakini akaziacha na
kurejea Bongo kumpumzisha prodyuza wake .

Related

BONGO MOVIE 2969771412833835506

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item