HUYU REHEMA FABIAN MAJANGA
MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009 , Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijami...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/huyu-rehema-fabian-majanga.html
MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009 , Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi .
Picha hiyo ilimuonesha akiwa amejiziba usoni na kuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake ambapo baadhi ya wafuasi wa mtandao huo walimkalisha kwa kumpa za chembe . Picha ya nusu uchi aliyotupia miss Kiswahili 2009 , Rehema Fabian katiaka mtandao wa Instagram. “Huwezi kuwa mtu unayejiheshimu katika
jamii halafu ukatupia picha ya namna hii katika mtandao wa kijamii ,” alichangia mmoja wa wafuasi wa Instagram .
Source: Globel

