DISQUS SHORTNAME

BAADA YA KADINDA , WEMAAMSHUSHIA MABUSUMTANGAZAJI



UTAMU kolea ! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ametengeneza kichwa cha habari kwa  mara nyingine baada ya picha inayomuonesha akimshushia mabusu Mtangazaji wa East Africa Television ‘ EATV ’
Picha hiyo ambayo inasemekana imepigwa hivi karibuni ni ya kawaida lakini baadhi ya  mashabiki wa Wema walidai kuwa anataka kutibua mambo kwa Nasibu Abdul ‘ Diamond Platnumz. Hivi karibuni , picha ya Wema akimshushia mabusu meneja wake , Martin Kadinda nayo  ilizagaa mtandaoni , hivyo watu wengi
kuamini kuwa msanii huyo anapenda kitendo hicho.
Source: Globel

Related

HABARI YA MJINI 7557099715671731265

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item