Huyu ndiye msanii atakayetumbuiza kwenye harusiya Kimye Jumamosi hii
Siku zinakimbia kwa kasi na hatimaye tarehe iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya harusi ya Kanye West na Kim Kardashian imewadia. Ni Jumam...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/huyu-ndiye-msanii-atakayetumbuiza.html
Siku zinakimbia kwa kasi na hatimaye tarehe iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya harusi ya Kanye West na Kim Kardashian imewadia. Ni Jumamosi hii. Lakini huenda msanii ambaye Kanye alitaka atumbuize kwenye harusi hiyo,
Mary J Blige huenda asiwepo na hivyo Lana Del Rey atawaburudisha maharusi hao kwa mujibu wa mtandao HollywoodLife. Lana Del Rey Pamoja na Lana kuwa katikati ya ziara yake ya Marekani atasimama kwa muda kwenda Paris Ufaransa Jumamosi hii pale Kim na Kanye watakapofunga ndoa.

