DISQUS SHORTNAME

AY, Salama, na Masanja ndiomastaa pekee (kwenye showbiz)Tanzania wenye followers zaidi yalaki 1 Twitter

Masanja Mkandamizaji na Salama Jabir  wameungana na Ambwene Yesaya aka AY katika kundi la mastaa wa Tanzania wenye followers zaidi ya la...


Masanja Mkandamizaji na Salama Jabir  wameungana na Ambwene Yesaya aka AY katika
kundi la mastaa wa Tanzania wenye followers zaidi ya laki moja kwenye mtandao wa Twitter.

Hadi leo hii AY ana followers 104,541, Masanja 101,165 na Salama Jabir 100,608.
Hata hivyo AY, Masanya na Salama si watanzania  pekee waliofikisha zaidi ya followers laki moja
kwenye mtandao huo. Wengine ni Rais Jakaya  Kikwete, Zitto Kabwe na Hasheem Thabeet.

Related

KWINGINEKO DUNIANI 4082435081281878785

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item