DISQUS SHORTNAME

BETHIDEI YAWAGOMBANISHADAVINA, SHOSTI ’AKE

SHEREHE ya bethidei ya msanii wa filamu  Vivian Minza ambaye ni shosti wa Halima Yahya ‘ Davina ’ iliyofanyika Mei 1, mwaka huu imed...



SHEREHE ya bethidei ya msanii wa filamu  Vivian Minza ambaye ni shosti wa Halima Yahya ‘ Davina ’ iliyofanyika Mei 1, mwaka huu imedaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kuvunja urafiki wa wawili hao .
Msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya  ‘Davina ’. Imeelezwa kuwa kutofautiana kwao ni Davina kutokwenda katika sherehe hiyo , ili kujiridhisha na madai hayo, paparazi wetu alimtafuta Davina , akafunguka : “Mwenzangu kweli kanichunia lakini najua  yataisha tu , sababu ni kutokwenda kwenye sherehe yake ya kuzaliwa kwani yeye huwa anajitoa sana kwangu , siku hiyo nilikuwa naumwa sana, ” alisema Davina .

Related

BONGO MOVIE 6981824911566241566

Post a Comment

  1. Davina uwa hana shukrani kabisaa asijishaue tunamjua

    ReplyDelete

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item