DISQUS SHORTNAME

SNURA AMFAGILIA SHEM WAKE DIAMOND

MSANII wa muziki na filamu Bongo, Snura  Mushi amefunguka kwamba tuzo saba za Kilimanjaro alizopata msanii mwenzake, Nasibu Abdul...



MSANII wa muziki na filamu Bongo, Snura  Mushi amefunguka kwamba tuzo saba za
Kilimanjaro alizopata msanii mwenzake, Nasibu Abdul alistahili kuzipata kwani  anajituma. Msanii wa muziki na filamu Bongo , Snura  Mushi , ' Mama Majanga' . Akichonga na gazeti hili , Snura alisema Diamond ni mwanamuziki anayejituma sana pia ni mbunifu na juhudi zake ndizo zimemfanya ashinde tuzo zote hizo .
Mkali wa Bongo fleva , Nasibu Abdul , ' Diamond Platinumz ' . “Mimi nilikuwa kwenye kipengele cha msanii chipukizi lakini haikuwa bahati yangu, naamini wakati wangu ukifika nitapata tuzo sina haraka ila kwa shemeji Diamond alistahili kupata ,” alisema Snura.

Related

BONGO FLAVA 316943321999500332

Post a Comment

  1. Huyu ndo alikua rafiki wa kweli qa wema sema tu ndo ivyo snura anapenda sana waganga madam alimstukia

    ReplyDelete

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item