BATULI : SIJAWAHI KUPENDAKAMA MTUNIS
KWA mara nyingine , staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘ Batuli ’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/batuli-sijawahi-kupenda-kama-mtunis.html
KWA mara nyingine , staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘ Batuli ’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘ Mtunis ’ . Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni , Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda
mwanaume kama alivyompenda Mtunis .
“Nilivyompenda Mtunis ni ngumu sana kumpenda mwanaume mwingine kama hivyona kwa kawaida kupenda huwa ni mara moja tu mengine tutadanganyana, ” alisema Batuli .Hivi karibuni Batuli aliripotiwa kutikisa ndoa ya Mtunis ikidaiwa kuwa bado ana uhusiano
naye lakini cha ajabu mtoto wa kike hakuonesha dalili zozote za kukanusha taarifa hizo .

