CATHY ATANGAZA VITA NAMASTAA
MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘ Cathy ’ amefunguka hatokaa karibu na mastaa wa kike , badala yake atakuwa na ...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/cathy-atangaza-vita-na-mastaa.html
MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘ Cathy ’ amefunguka hatokaa karibu na mastaa wa kike , badala yake atakuwa na marafiki wa kiume .
Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema
ameamua kubadili mfumo wa maisha na amejiweka pembeni na haitaji urafiki na wasanii wa kike kwani kazi yao kubwa ni kupiga majungu . “Wasanii wa kike wana majungu sana, ndiyo maana marafiki zangu wengi ni wanaume na mume wangu anawafahamu kwani hawa wasichana wamekalia kuzungumza umbea tu , sihitaji kabisa urafiki na wasichana kwa sasawala sijichanganyi nao labda iwe ishu
maalum sana, ” alisema Cathy .
