Unafahamu kwanini Jaguar waKenya hakuja kwenye tuzo zaKILI juzi?
Post hii ni maalum kwa staa wa muziki wa Kenya anaetajwa kuingia kwenye TOP 5 ya Wasanii matajiri wa muziki wa kizazi kipya Afrika Mashar...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/unafahamu-kwanini-jaguar-wa-kenya.html
Post hii ni maalum kwa staa wa muziki wa Kenya anaetajwa kuingia kwenye TOP 5 ya Wasanii matajiri wa muziki wa kizazi kipya Afrika Mashariki huku orodha hiyo ikiwa na watu wengine kama Jose ChameleoneImefahamika kwamba Jaguar alikataa kuja kwenye tuzo za Kili 2014 alizokua nominated baada ya waandaaji kushindwa kufikia masharti aliyowapa na badala yake akaamua kwenda kuhudhuria
harusi ya producer wa DNA aitwae Refigah. Jaguar alitaka atumiwe ticket ya ndege ya business class, alitaka achukuliwe chumba kwenye hoteli ya nyota tano, apewe ulinzi popote atakapokwenda na vilevile apewe gari zuri la kifahari la kutembelea. Kwenye sharti jingine Jaguar alitoa option kwa
Chameleone, Wyre, Amani, Ay, Mtangazaji William Tuva, shabiki Daudi wa Kota na Dj wa Chameleone juzi Dar es salaam.Alipohojiwa na ghafla.co.ke Jaguar alisema asingeweza
kuhudhuria tukio ambalo asingepewa heshima aliyoitaka kama ambavyo huwa anaipata anapokwenda kwenye nchi nyingine katika matukio kama haya ndio maana ilikua bora ahudhurie harusi na kuongeza kwamba ‘nitahudhuria iwapo wataanza kuwa-treat vizuri wasanii wa Kenya’ Tuzo za KILI 2014 zilihudhuriwa na mastaa wawili wa Kenya ambao ni Wyre na Amani huku Uganda ikiwakilishwa na Jose Chameleone ambae ndio alitangazwa mshindi kwenye kipengele cha Afrika Mashariki.


Dat's y i luv u my Jaguar,sio kina Diamond wanapelekwa pelekwa tu magari mabovu mtu ana kipaji n yupo top now lakini wala hajali thamani yake
ReplyDeleteJamaa anajitambua kawapa live bila chenga
ReplyDeleteUshuzi tu kulewa sifa, haya lala na heshima yako tuone kama utafika mbali mfyuuu
ReplyDeletenimempenda bure ndo maana wenzetu wanaendelea cyo kupelekwapelekwa tu.
ReplyDelete