MWILI WA KUAMBIANA KUAGWAJ’TATU NA J’ NNE DAR
Mke wa marehemu Adam Kuambiana , Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa. Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani ...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/mwili-wa-kuambiana-kuagwa-jtatu-na-j.html
Mke wa marehemu Adam Kuambiana , Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa. Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani Bunju B , Dar . Msiba upo hapa Bunju B .
MWILI wa Mwigizaji na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana utaagwa kesho Jumatatu nyumbani kwake Bunju B , Dar na siku ya Jumanne asubuhi utapelekwa Viwanja vya Leaders kuagwa na mashabiki wake. Taarifa hizi zimetolewa na mke wa marehemu, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi ( Chadema)!

