DISQUS SHORTNAME

WEMA SAPETU NA ANTY EZEKIELWALA ‘PANADOL’ KUJIKINGA NAUGONJWA WA DENGUE

Mastaa wa filamu za Kibongo Wema Sepetu  na Anty Ezekiel wameonekana wakinywa  dawa aina ya panadol ili kujikinga na ugonjwa uliozuka hiv...


Mastaa wa filamu za Kibongo Wema Sepetu  na Anty Ezekiel wameonekana wakinywa  dawa aina ya panadol ili kujikinga na ugonjwa uliozuka hivi karibuni ambao umeua  watu kadhaa na wengine wakiwa mahospitali unaojulikana kama dengue. Kupitia mtandao wa instagram anty alipost picha wakiwa wameshikilia dawa hizo mikononi wakati wakila bata sehemu Fulani huku wakijiandaa kuzimeza ,huku akiandika hivi .. Dengue hili haya twende kazi Panadol time …  Sababu mojawapo inayoweza kuambukizwa
ni kuvaa nguo fupi sasa kwa mastaa wanaopenda kula bata huku wamevaa nguo  fupi ndiyo wanajikinga kama Anty na Wema .

Related

BONGO MOVIE 1641637334760284327

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item