Baada ya hii story kuhusu huu ugonjwa jamaa alikuwa na haya ya kusema:
Mbu anaeambukiza ugonjwa wa dengue anapatikana kwenye maji safi yaliyotulia..kwa hiyo kwa uswahilini..hawapo Mbu ni ngumu kuzaliana..huyo ni wa mitaa ya kishua..kwa kifupi huyu ni "mbu sharobaro"
ahahaha