Dr Cheni aruhusiwa baada yakulazwa kwa ugojwa wa Dengeu
Msanii wa filamu Dr Cheni ameruhusiwa leo kutoka katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kutokana kuugua na ...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/dr-cheni-aruhusiwa-baada-ya-kulazwa-kwa.html
Msanii wa filamu Dr Cheni ameruhusiwa leo
kutoka katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es
Salaam alipokuwa amelazwa kutokana kuugua na
ugonjwa wa Dengeu.
Dr Cheni akiwa na JB
Kupitia Instagram ameandika: Asanten sana
ndugu marafiki washabiki kwa dua zenu leo
nimeruhusiwa sina cha kuwalipa, mungu
atawalipa kwa sala (maombi) yenu amin”
Dr Cheni alilazwa May 6, mwaka huu baada ya
kuugua na ugojwa huo ulimsababishia aishiwe
nguvu na kupungukiwa damu mwilini.

Daaah huu ugonjwa ni hatari nimeguswa kuwaona Jb na mr chik mungu awape moyo wa huruma hivohivo
ReplyDelete