CHEKI DIAMOND ANAVYOONGOZA KUPIGIWA KURA BET
Watanzania! Mpaka sasa rekodi nyingine ya Diamond BET Awards ni hii. @DiamondPlatnumz Ni siku chache tu zilizopita toka Diamond Platnum...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/cheki-diamond-anavyoongoza-kupigiwa.html
Watanzania! Mpaka sasa rekodi nyingine ya Diamond BET Awards ni hii. @DiamondPlatnumz Ni siku chache tu zilizopita toka Diamond Platnumz ametangazwa kuwania tuzo za kituo cha Television cha Marekani BET akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo hiyo huku wengine wakitoka Nigeria, Ghana na Togo. ( Best International Act: Africa ) Good news ni kwamba katika mchakato wa kura sasa hivi Diamond ameshika nafasi ya pili katika list ya Wasanii wote sita ambapo kama
Watanzania wataendelea kumpigia kura kwa kasi na kumzungumzia kwenye mitandao ya
kijamii basi anaweza kushika nafasi ya kwanza kwa kumpiku alie juu yake ambae kamzidi kwa asilimia nyingi sana.


jamani hebu elezea jinsi ya kupiga kura m cjui
ReplyDeletefungua blog ya jipange kuna maelezo yote.....
ReplyDeleteHizi kura hazisaidii. Jipange101 na millardayo mmepotosha watu. Credibility yenu itashuka ondoeni hizi link za BET. Ni fake
ReplyDeleteMBNA mnatuchanganya fake kivp??au wivu tu
ReplyDelete