DISQUS SHORTNAME

AUNT AKUMBUKA KIPIGO CHAKUAMBIANA

WAKATI staa wa muvi za Kibongo, Adam  Kuambiana akizikwa jana jijini Dar es  Salaam, msanii mwenzake Aunt Ezekiel amekumbuka kipigo alich...


WAKATI staa wa muvi za Kibongo, Adam  Kuambiana akizikwa jana jijini Dar es  Salaam, msanii mwenzake Aunt Ezekiel amekumbuka kipigo alichoangushiwa na  Kuambiana yeye na Wema , wiki chache zilizopita. Mrembo Aunt Ezekiel.
Akiteta na kona hii , jana jijini Dar , Aunt alisema : “Nakumbuka hiyo siku , tulikuwa location , Mikocheni mimi , Wema , Martin  Kadinda na wasanii wengine tukirekodi filamu
ya Wema . Kuna kitu tulikosea, Kuambiana akatupiga mimi na Wema .  “Alikuwa makini sana na kazi yake, hakupenda mzaha unapofika muda wa kazi . Nikikumbuka ile siku huwa namkumbuka sana  Kuambiana kwa kweli . Mungu ampumzishe kwa amani .”

Related

BONGO MOVIE 4801854149161337360

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item