DISQUS SHORTNAME

Idris: Nilikuwa mpiga picha wa LULU

Akizungumza na Global TV online kwenye Kipindi cha Mtu  Kati , mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Rashid Sultan amefu...

Akizungumza na Global TV online kwenye Kipindi cha Mtu  Kati , mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Rashid Sultan amefunguka na kuelezea mahusiano  yake na mwigizaji Elizabeth Michael ‘lulu’ ambapo Idris alisema amejuana na kuwa marafiki na Lulu kupitia kazi  yake ya kupiga picha na kusanifu kurasa za majarida ambayo alikuwa akiifanya.
 Swali : Vipi kuhusu uhusiano wako na msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’?
Idris : Mimi ni mpiga picha na msanifu kurasa, Lulu alikuwa  anakuja nampiga picha na ni rafiki ambaye tumejuana kwenye kazi tu, sitaki kujua amejiwekaje. Mbali na hayo, Idris alizungumzia ndoto zake za kufanya kazi Hollywood ambapo alisema anaamimi ana kipaji  kikubwa cha kuigiza jampo kuwa kwenye jumba alionyesha kipaji cha kucheza.  “Nina ndoto kubwa ya kufika huko, nilivyofika kwenye ile
nyumba nilikuwa nina kipaji cha kucheza lakini pia naamini  niko vizuri kwenye uigizaji hata kutoka kwa Fig, Big, washiriki wenzangu, mwalimu mwenyewe anashangaa kwa hiyo ninahitaji kuendeleza hicho kitu”
-Idris alimaliza.

Related

HABARI YA MJINI 1379916087604958468

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item