Sheria Ngowi: Mbunifu wa mavazi Mtanzania anaemvalisha Kikwete na Pinda
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (kulia) akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Jijini Dar es Salaam alipomtembe...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/12/sheria-ngowi-mbunifu-wa-mavazi.html
![]() | ||||||
| Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (kulia) akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali. |
![]() |
| Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi akimuonesha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baadhi ya vitambaa vya kisasa vya suti ambavyo vitatuka Kumtengenezea Waziri Mkuu jana jijini Dar es Salaam. |




