CHID BENZ KIZIMBANI TENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro ’Chid Benz’ leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jiji...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/12/chid-benz-kizimbani-tena.html
MSANII wa
muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro ’Chid Benz’ leo amepandishwa tena
kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
kufuatia kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya kwenye Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kesi ya staa huyo imeahirishwa
mpaka Januari 15, 2015 itakapotajwa tena.

