Lundenga Kikaangoni Tena: Sitti ashindwa Kurudisha Zawadi Zote Alizopewa
Lundenga na Kampuni yake ya Urembo matatani tena baada ya Basata kuhoji kwanini Sitti Mtemvu Bado Hajarudisha zawadi zote alizoshinda Kat...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/11/lundenga-kikaangoni-tena-sitti-ashindwa.html
Lundenga na Kampuni yake ya Urembo matatani tena baada ya Basata kuhoji kwanini Sitti Mtemvu Bado Hajarudisha zawadi zote alizoshinda Katika Mashindano hayo ya Urembo..
Basata Imesema Sitti inaitajika kurudisha zawadi zote alizoshinda kuanzia Miss Temeke, Miss Changombe na Miss Tanzania 2014 kwa vile huko pote alishiriki huku amedanganya Umri ..

