DISQUS SHORTNAME

video:Chid Benz Asomewa Mashitaka,Arudishwa Rumande.

Rapper Chid Benz mchana huu amesimamishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu na kusomewa mashtaka matatu ambayo ni  1. Kukutwa n...




Rapper Chid Benz mchana huu amesimamishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu na kusomewa mashtaka matatu ambayo ni 
1. Kukutwa na dawa za kulevya
2. Kusafirisha  dawa ya kulevya
3. Kukutwa na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa madawa

Chidi Benz amerudishwa rumande hadi Novemba 11 ambapo ataletwa tena kizimbani.Dhamana itakuwa wazi kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika na pesa taslimu milioni 1.

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item