DISQUS SHORTNAME

USTAADHI ILUNGA AFARIKI DUNIA LEO

Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kis...


Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.Ustadh Ilunga atazikwa Leo. Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.

Related

ZILIZOTUFIKIA 1722857822653111045

Post a Comment

  1. Inalilah wainalilah rajuun! Mungu wangu...... Kiukweli Mungu ni mwema sana siitajiki kufurahi kifo cha mtu ila kwa alichokuwa anakifanya huyu Sheikh Mungu wetu mwema naona kaona ni bora amuite haraka sana kwa sababu Tanzania yetu Mungu bado anatupenda.....

    ReplyDelete

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item