DISQUS SHORTNAME

UKITAKA KUMPIGISHA SHOW DIAMOND UJIPANGE SANA!SOMA GHARAMA ZAKE!

Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati  ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na...

Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati  ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na mahitaji  yake hadi kumpandisha kupiga show  moja si ya kitoto, kaa utulie usikilize mahitaji haya ya Diamond: Kwanza bila kumtonyesha kuanzia milioni 45 kwenda juu, utaishia kuongea naye kwenye simu tu, bila hata ya kuona sura  yake, achana na hiyo basi kwanza kama
umeshatenga hilo fungu na kufanikisha kumuita kupiga ku-sign contract yake,  inabidi umsafirishe kwa private jet au first class plane, akishatua uwe umeshandaa presidential suit katika hoteli yeyote yenye  hadhi ya nyota tano, kama ni Bongo ni Serena hotel pale wakati huohuo uwe umashatenga vyumba maalumu vikubwa kwa ajili ya team yake wakiwemo Dancers,camera man,dj ,  mlinzi wake na msaidiz, microphone ya
pekee na vyakula atavyohitaji yeye, viwe teyari umeshaweka order vitengenezwe, kama anavyotaka yeye.

(U-ghari wa diamond unatokana na yeye mwenyewe kuwa brand kubwa,  anauwezo wa kujaza uwanja peke yake,lakin pia maandakiz ya kazi  zake,nyimbo ama video,hu-invest  gharama kubwa,mfano number 1 video orignal na rmx ilitumika zaidi ya  million 80,lakin pia ana team  aliyowaajili anahitaj awalipe ) Kama ulikuwa unamchukulia Dangote easy, jipange!.

Related

BONGO FLAVA 7514281980453230949

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item