DISQUS SHORTNAME

T.I.D azama Chumvini, ajiandaa kurudi na Girlfriend Part 2

Msanii mkongwe wa RnB wa kizazi TID ametangaza ujio wake mpya baada ya ukimwa wa mda mrefu bila kutoa album ambapo album yake ya mwisho a...


Msanii mkongwe wa RnB wa kizazi TID ametangaza ujio wake mpya baada ya ukimwa wa mda mrefu bila kutoa album ambapo album yake ya mwisho alitoa mwaka 2008,akizungumza na kipindi cha Bongo Flava kinachorushwa na kituo cha radio cha Clouds fm TID alisema ujio wake huu mpya wa single ya Chumvini unaashiria ujio mpya wa album yake nyingine tangu 2008,"Kweli nimekua kimya kwa mda mrefu hii ni kutokana na kuangalia upande mwingine wa band yetu ya Top in Dar lakini pia nilikua najipanga upya kwani sasa hivi gem
u limechenji sana sio kama zamani zile" Alisema TID

Katika single hiyo TID amemshirikisha Jay Mo ambae muungano wao umeonekana kua na mafanikio makubwa tangu awali. Pia alibainisha kua wako katika mipango ya kujiandaa kuja na filamu yao inayoitwa Girlfriend Part 2 ambayo pia waliwahi fanya Girlfriend Part 1 akiwa na Jay Mo.


Tunategemea kuona mambo makubwa zaidi kutoka kwako TID watanzania wako tayari kukupokea kwa mara nyingine tena.

Related

HABARI YA MJINI 7694396317167377591

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item