DISQUS SHORTNAME

TAARIFA ZAIDI ZA KIFO CHA ADAM KUAMBIANA

Hizi ni taarifa zingine za ghafla ambazo  Tanzania tumezipokea kwa mshtuko na  masikitiko ni kifo cha miongoni mwa- madirector wa Tanzania a...

Hizi ni taarifa zingine za ghafla ambazo  Tanzania tumezipokea kwa mshtuko na  masikitiko ni kifo cha miongoni mwa- madirector wa Tanzania ambao ni waigizaji pia,huyu ni Adam Kuambiana ambaye taarifa
za kifo chake zimeanza kusambaa mchana wa Mei 17.  Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere amesema>>’Mwenzetu Adam Philipo Kuambiana amefariki akiwa Location ana  shoot,mimi nimepigiwa simu saa 3 asubuhi  kuwa hospitali pale Mwenge niende nikahakikishe kuwa ni kweli Adam amefariki na
kweli kufika pale nikamkuta Adam Kuambiana amefariki’  ‘Sasa hivi tumetoka Muhumbili kwenda kumsitiri mwenzetu,taarifa inasema wakati yupo location alikua analalamika tumbo  linamuuma linamuuma kumfikisha hospitali ndipo umauti ukamfika’.
Kwa mujibu wa Steve Nyerere amesema kuwa  marehemu Adam kuambiana alikua ana shoot filamu yake mpya ambayo ndani yake  amewashirikisha wasanii kadhaa wa Bongo fleva akiwemo Q Chillah,taratibu za mazishi na  msiba kwa ujumla

Related

ZILIZOTUFIKIA 7348181366930842808

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item