NYOKA ATOKA NDANI YA BEGI KWENYE DALA DALA WATU WAPAGAWA!
Mwanafunzi mmoja alikuwa amekaa kwenye daladala anaandika sms,huku ameshika begi lake. Mzee mmoja wa kiswahili kando yake akaanza kuangali...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/nyoka-atoka-ndani-ya-begi-kwenye-dala.html
Mwanafunzi mmoja alikuwa amekaa kwenye
daladala anaandika sms,huku ameshika begi
lake.
Mzee mmoja wa kiswahili kando yake akaanza
kuangalia dogo anaandika nini.
Dogo alipogundua anachunguliwa akaamua
kubadilisha sms akaanza kuandika:
"Yule nyoka uliyenipa inakaa hujamtoa meno ya
sumu,hapa nilipo anasumbua kwenye begi
anataka kutoka,sijui nifanyeje na alivyo
mkubwa akitoka ataleta taabu coz niko ndani
ya matatu."...
Dogo alipoona mzee anababaika akachukua begi
na kumrushia...Mzee akaruka dirishani fasta
huku akipiga kelele,"Mamaae
nyokaaaaa!....nakufa mieee!
Mzee kuona vile akaanza kusogea pembeni.

