MWENYEKITI WA BONGOMOVIE AFUNGUKIA UGOMVI WA WEMA NA KAJALA KAMA ALIVYOAHIDI
Mwenyekiti wa bongo movie steve nyerere amefungukia ugomvi wa wema na kajala kama alivyoahidi jana..
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/mwenyekiti-wa-bongomovie-afungukia.html

Eti kajala aombe msamaha, huyo wema aliomba msamaha adharani kwa kutembea na mume wa mtu???? alimwomba dada yake msamaha kwa kutembea na mumewe??? alimwomba dangote msamaha hadharani kwa kumcheat na libaba jitu zima??? msamaha my shoes, Kajala ukiomba msamaha siwi tena fun wako, washenzi watupu, we kaa kimya kula vyako, travel in style, ishi maisha yako, na huyo CK usimwache ng,ooooo, acha wapayukaji wakauke makoo
ReplyDeleteTushaambiwa na mkuu wa nchi hapana kuachia fursa
ReplyDeleteAhahah kamata fursaa
DeleteYaaani, mwenyekiti mwenyewe hata sijui mwalimu wake wa kiswahili alikuwa nani, kuandika ovyoooo, na siku zote ukiwa unapatanisha usilalie upande mmoja, eti maddam usamehe, asamehe huyo clem ni mumewe, ovyoooo. alitakiwa awaite na aongee nao wote then aseme neno huko insta, luck of leadership skills
ReplyDeleteAtakuwa darasa la 7 huyo
Deletenyie wote mlioandika hapo juu ni makahaba hakuna mzima,,tena mmeshayazika maisha yenu ndio maana mnaona liwalo na liwe ila mkumbuke "MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NI NGAMANI"
ReplyDeleteNenda huko, tena mijitu kama nyie ndio wale malaya wa chinichini, hamjulikani na watu ila ma malayaaaaa, na watu kama nyie ndio wapayukaji sanaaa, ni kama mchawi anavyoua watu halafu msibani analia sanaaaaa, kumbe muuaji ni yeye
DeleteTatizo wapenzi wa wema wanahisi wema kama mungu hakosei ndo maana wanajaribu kumlinda kwa hali yeyote ukiangalia kwa upande mwingine wema pia anamakosa kwa kutembea na mume wa mtu alitakiwa awe wa kwanza kumuomba msamaha mke wa ck
Deleteduh yoote hii kisa mboo!? gombanieni hela na elimu banaaa wanawake mnatia kinyaa.
ReplyDeleteAta kama uyo ck ni mme wa mtu uyo kajala cikamjulia kwa wema? Nayeye angetafuta mme wa mtu mwingine ambaye hakuwa wa wema nazan kusingekuwa na kelele na hawa waume wa watu kuwa na vimada ishakuwa kawaida so kajala bado ntamwita ni mwizi kamkosea madam na yeye mwenyewe kama uyo ck alikuwa kampenda siangemfata kabla ya wema? Coz sizani kama alikuwa hamuoni k kwenye media au mtaani coz k nae ni star ila aliamua kuwa na wema nahisi huwenda k alijitongozesha kwa shemeji
ReplyDeleteHatariiiii
ReplyDeleteHuyo CK ni nani wa wema??EX au buzi lake na mkumbuke sasa ivi yupo na domo sa mnavomsema kajala inamaana mnataka kila alipotombwa wema ce 2cingie??Huyo wema sio malaika,pelekeni usenge wenu na nadam wenu mwenye mistari km pundamilia...mmxxxxiiiiiuuuh madam my ass
ReplyDeletesmh....m/kiti hata kuandika hajui kwel bongo raha ama LAA hahahhaha
ReplyDelete