JOHARI : RAY HAWEZI KUMUOACHUCHU
Blandina Chagula ‘ Johari’ , juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/johari-ray-hawezi-kumuoa-chuchu.html
Blandina Chagula ‘ Johari’ , juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent Kigosi ‘ Ray ’ , kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la kweli na kwamba huo ni utapeli. Staa wa sinema za Kibongo , Blandina Chagula ‘ Johari’ .
Akizungumza Ijumaa Mei 13 , mwaka huu Johari alisema hana taarifa zozote za Ray kumvisha pete Chuchu na wala hatarajii kusikia tukio la wawili hao kuoana limefanyika . “Mmh … unasema Ray kamvisha pete Chuchu.. .! Hakuna jambo kama hilo wewe , achana na matapeli maana hakuna ishu kama hiyo na Ray hawezi kuoa kwa muda huu. ” “Kwani suala la kumvisha pete na kutoa mahari lilifanyikia wapi maana kama kweli
kuna mazingira hayo basi atakuwa kafanya kwa kificho sana .”
