DISQUS SHORTNAME

Exclusive: Rose Ndauka KutolewaMahari Na Malick Bandawe"Chiwa Man" Leo Hii...

Hii ni exclusive! Star mkubwa wa filamu nchini anayetamba na filamu kibao sokoni Rose Ndauka anatolewa mahari leo hii baada ya kuwa kati...


Hii ni exclusive! Star mkubwa wa filamu nchini anayetamba na filamu kibao sokoni Rose Ndauka
anatolewa mahari leo hii baada ya kuwa katika  uchumba na msanii mwenzake wa Bongofleva  Malick Bandawe "Chiwa Man" kwa muda mrefu na kufanikiwa kupata mtoto wa kike miezi  kadhaa iliyopita.
Chanzo kimoja cha kuaminika kilicho karibu na upande wa mume kimeitumia  sms Swahiliworldplanet mchana huu kikisema "Rose Ndauka tunamtolea mahari leo".
Chanzo hicho kilipododoswa tena kwa kuulizwa mahari ni kiasi gani na ndoa inategemewa kufanyika lini  kilijibu kwa ufupi kwa kusema "We unanifanya niwe paparazi....sijui ni how much...nitakujibu  later"  Rose Ndauka kutolewa kwa mahari inamaanisha kuwa harusi yake na Malick Bandawe ni hivi karibuni so watch this space for more.

Related

HABARI YA MJINI 5555092794827779905

Post a Comment

  1. Toka kelele za kuolewa rose zmeanza sasa ungekua mwaka wa pil kwenye ndoa
    Na wafunge ndoa sasa.kelele nying sana.

    ReplyDelete
  2. Ilikuwa bado tu mahari, engaged bila posa loh

    ReplyDelete

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item