DISQUS SHORTNAME

AUDIO: Jibu la Irene Uwoya baada yakuulizwa uhusiano wake naMsami wa THT.

Jana May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds  FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami  wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoy...


Jana May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds  FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami  wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake Rehema aliweka wazi kuwa ni kweli Msami ana uhusiano wa kimapenzi na Irene Uwoya. Sasa May 29 2014 ishu hii imeendela ambapo katafutwa Irene Uwoya na kuulizwa na Soudy Brown kama ni kweli ana uhusiano wa kimapenzi na Msami na swali la kwanza lilitaka kujua uhusiano wao umekuepo toka lini? Irene Uwoya: ‘Siku nyingi’
Soudy Brown: Msami kama namuona, unampa  huduma zote? Irene Uwoya: ‘Sanaaa kila kitu’ Soudy Brown: Uhusiano wenu utadumu au ndio  kama wa Ndikumana?  Irene Uwoya: ‘Yakudumu kwa sababu nampenda’.  Soudy brown alimpa Irene taarifa kuwa mpenzi wa zamani wa Msami amekasirika kwa sababu Irene kaingilia mapenzi yao jibu kutoka kwa Irene likawa >>> ‘hiyo haijalishi kwa sababu nampenda’ Bonyeza play kusikiliza.

Related

BONGO MOVIE 1225079502688170029

Post a Comment

  1. she z a bitch serious. haon hata haya kuyasema hayo tena kny media. she z psycho 4 sure. khaaaaa nmemshusha mpk chin ya via2

    ReplyDelete
  2. you people stop being judgmental,tena amefanya vizuri kukubali on media mana ndo mujue yupo na serengeti tuuu! whats wrong to date a dancer jamani na c yupo single i dont see the big deal lets her be.

    ReplyDelete
    Replies
    1. das a big deal. m nat trying 2 say daat u cnt date dancers.

      Delete
    2. wee nae kama umeachwa tembeza kiatu jipange upya coz ur not make sense kabisa iyo big deal nini hasaa?

      Delete
  3. Madogo nao wamezidi umalioo, shishi mwenyewe anambemenda mziwanda while ana mijibaba yake.

    ReplyDelete
  4. hakuna tatizo bwana hebu tuacheni longolongo irene jinafasi kwaraha zako

    ReplyDelete
  5. Yeye amejibu vizuri sana...maana angekataa pia msingeamini...safi sana irene wasikilizishe kile wanachotaka kusikia.

    ReplyDelete

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item