DISQUS SHORTNAME

AUDIO EXCLUSIVE: KOLABO ZINGINE KALI ZA DIAMOND AMBAZO HAZIJATOKA

Diamond nyota yake itaendelea kung'aa na kufanikiwa zaidi baada ya kufanya collabo kali na wasanii wakali Afrika.Hayo yamesemwa na...

Diamond nyota yake itaendelea kung'aa na kufanikiwa zaidi baada ya kufanya collabo kali na wasanii wakali Afrika.Hayo yamesemwa na Fella ambae ndie anasimamia kazi za mziki za msanii huyo mkubwa kwa sasa.
Amesema collabo ambazo hazijatoka Diamond amewashirikisha Mafikizolo kutoka Afrika ya Kusini
Pia amefanya na msanii wa kike kutoka Nigeria ambae nae anarekodi kubwa Duniani kwa sasa Tiwa Savage
Pia ameshirikiana na Don Jazzy kutoka Nigeria baada ya collabo kali alilofanya na Davido
MSIKILIZE HAPA MKUBWA FELA:

Related

HABARI YA MJINI 7179798802304256497

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item