DISQUS SHORTNAME

AJALI ILIYOMUUA GEORGE TYSON HII HAPA

Dj Choka ambae alikua kwenye safari moja  ya Dodoma na Marehemu George Tyson , ameandika kwamba Marehemu alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa...

Dj Choka ambae alikua kwenye safari moja  ya Dodoma na Marehemu George Tyson ,
ameandika kwamba Marehemu alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa Chamwino kwenye utoaji  wa madawati katika shule ya msingi Chaula iliyopo Dodoma .
Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni Show mauti  yalimkuta majira ya saa 12 jioni ikiwa ni saa
4 tu toka tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka
kukaribia GAIRO mjini.  Kwenye gari walikuwa watu 8 ila yeye pekee  ndio aliyepoteza maisha ila wengine wamepata majeraha mwilini akiwemo dereva  wa gari hilo ambapo kwa sasa mwili wa
marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika hospital ya mkoa Morogoro baadae
asubuhi safari ya kurudi Dar es Salaam itaanza .
 PICHA/HABARI KWA HISANI YA DJ CHOKA

Related

BONGO MOVIE 6084280756519125604

Post a Comment

Comment zako Kuhusu hii stori

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

item