AIBUUU.......AIBUUUUU......AIBUUUU NAOMBA TUSIIGE TAMADUNI HIZI CHAFU
Africa imepigwa butwaa pale iliposhuhudia bara la Ulaya likishadadia bwana Michael Sam mchezaji maarufu wa ligi ya NFL ya Marekani ak...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/05/aibuuuaibuuuuuaibuuuu-naomba-tusiige.html
Africa imepigwa butwaa pale iliposhuhudia bara la Ulaya likishadadia bwana Michael Sam mchezaji maarufu wa ligi ya NFL ya Marekani akijitangaza kua yeye ni shoga.Michael Sam alijitangaza baada ya kushindwa kujizuia alipokua akisubiri wakati mhimu sana kwake na kwa timu yake na mda ulipofika alijikuta akipigana mabusu hazarani na mwenzake wa kiume na hapo ndipo alipotangaza kua yeye si riziki.TUNATOA WITO KWA JAMII NA WASOMAJI WETU KUPINGA VIKALI TAMADUNI HII CHAFU KWANI SI JAMII TU IMEKATAZA BALI HATA KIDINI MUNGU AMEZUIA UCHAFU HUU NA KUUITA LAANA.

