MISS TANZANIA YAELEKEA UKINGONI???
Hahim Lundenga Miss Tanzania imevurugwaaa daah kweli marefu yasiyokuwa na ncha,hatimaye lile shindano lililokuwa likisimua East Africa mi...
https://mirindimoyapwani.blogspot.com/2014/10/miss-tanzania-yaelekea-ukingoni.html
Miss Tanzania imevurugwaaa daah kweli marefu yasiyokuwa na ncha,hatimaye lile shindano lililokuwa likisimua East Africa miaka hio ya nyuma linaelekea kuwa chaliiii, maana wanzilishi wakigombana mpaka kupelekana mahakamani ndio kunaelekea ukingoni huko..... sijui nani atalinusuru jahazi hili lisizame, Hashim Lundenga amepinga kuzuiwa kufanya mashindano hayo kama ilivyokuwa hapo awali 11th 0ctober ...

